Advertise Here

Tuesday, December 3, 2013

Daddy Owen kufunga ndoa mapema mwakani.

Daddy Owen. Photo-niaje
Daddy Owen
Mwimbaji Maarufu wa Muziki wa Injili toka Nchini Kenya Daddy Owen, ametangaza rasmi kufunga ndoa na Mchumba wake Fridah Wambui.

Daddy Owen amefikia Uamuzi huo baada ya kukamilisha taratibu zote za kimila, na kwasasa wanasubiri kupangwa kwa tarehe rasmi ya kufungwa kwa ndoa yao, huku akisema kuwa matarajio yao ni kufunga ndoa hiyo mapema Mwakani.