Advertise Here

Monday, June 10, 2013

Watu zaidi ya 300 wahudhuria Tamasha la Kusifu na Kuabudu la "Higher Praises".

Jana katika Kanisa la New Vine Christian Centre(NVCC) lililopo Nyegezi, Mwanza(Tema Hotel-Ukumbi Mkubwa) chini ya Mchungaji Kiongozi Pastor Goodluck Kyara, kulikuwa na Tamasha Kubwa la Kusifu na Kuabudu liliyopewa Jina la "Higher Praises". Tamasha hilo lililoanza Saa 9:00 Alasiri lilimalizika Saa 1:00 Jioni na vikundi mbalimbali vya Kusifu na Kuabudu vilihudhuria Tamasha hilo ili kuwasogeza Watu katika Uso wa Mungu.

NVCC Praise & Worship Team ndo walikuwa Waandaaji wa Event hiyo na Watu zaidi ya Mia 3 walihudhuria Tamasha hilo la Kusifu na Kuabudu. Karibu kutazama Picha hizi za Jinsi Tukio lilivyokuwa........
NVCC Praise Team ikiwa Back Stage

NVCC Gentlemen wakiwa Back Stage

NVCC Ladies wakiwa Back Stage

CBCI On Stage

Baadhi ya Watu waliohudhuria Ibada hiyo

Tafes Saut On Stage

Halleluyah!!!

Uweponi Mwake

Mtu wa Mungu, Mc wa Event Mr. Eliud Mwasenga

NVCC Praise Team

Here is Tontoo. "Moja, Mbili, Tatu, Kwa Jina la Yesu, Tunakanyaga Shetaniiiiiiiiiiiii..........!"

NVCC Praise Team ikihudumu

Sowane Emmanuel kwenye Tumba

Team ya Wapiga Vyombo, Boaz(Kushoto) Adolph(Katikati) na Jema(Kulia)

Mtoto wa Bishop Irene Nzwalla, Muite Adolph Robert Nzwalla

Pastor Goodluck Kyara akisifu

NVCC Praise Team On Stage

Mikono Juu, Mikono Juu. Alama ya Ushindi.................

Kwa YESU kuna Raha Jamani

Mama Praise wa Tafes Saut, Muite Aneth

Kutoka MICC Praise Team, Huyu ni Juma Luchele. Weka mbali na Mic

Brother James Kalekwa(Kushoto) akiwa na Hilly

Team Boaz On Stage
Pastor Goodluck Kyara(Kulia)

Man of God Boaz

'Mungu wa Eliya aaaah, shusha Motooooo eeeh..............!"

Ilifika Mahala hadi Ushers(Wahudumu: Wenye nguo nyeusi Kulia) Wakaacha kazi zao na Kuamua kujiunga na Wengine

Hapo hakuna kumkanyaga Mwenzako

Utukufu Kwa Mungu

Noel(Kushoto) na David(Kulia)

Here is Man Adolph Robert Nzwalla

Wacha Weeeeeeeeeeeeeeee...........!!!

Wapi Mama Praise Aneth(Wa Katikati)

Alipoona wenzake wanafaidi, Mc wa Event Mr. Eliud(Kulia) nae akaamua kuachia Mic na Kuanza kucheza

Pastor Goodluck Kyara akifanya Maombi ya Kufunga Ibada hiyo

= Utukufu Urudi Kwake Aliye Mkuu kupita Wote =