Advertise Here

Wednesday, May 15, 2013

Album mpya ya Goodluck Gozbert kuingia Sokoni Mwezi Huu.

Goodluck Gozbert
Mwimbaji wa Nyimbo za Injili toka Jijini Mwanza, ambaye pia ni Mtayarishaji wa Muziki, Goodluck Gozbert anategemea kuingiza sokoni album yake mwezi huu, Album hiyo itakuwa na jumla ya Nyimbo 8, ambazo ni 1.Nimeuona,2.Uko Sawa, 3.Wa Moyo 4.Nimwabudu nani, 5.Shika sana 6.Mpaka Lini 7.Umetamalaki 8.Atoshekaye.

 Kaa Mkao wa kupokea kitu kipyaaa toka kwa Mwimbaji huyu. Sikiliza wimbo wake huu

Mawasiliano ya Goodluck Gozbert
0762486168