Advertise Here

Thursday, January 9, 2014

Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Nchini Nigeria anusurika kifo.

I don’t care, whether you like me or my music -Busola Oke
Queen Eleyele

Mwimbaji maarufu wa Nyimbo za Injili toka Nchini Nigeria Busola Oke maarufu kama Queen Eleyele anusurika kufa kwenye ajali mbaya ya gari iliyotokea January 4, Mwaka huu akitokea Oyo Estate kuelekea Lagos.

Baada ya Ajali hiyo kutokea, watu waliokuwa eneo la tukio waliwahi haraka eneo la tukio na kumchukua Mwimbaji huyo kisha kumpeleka hospitalini.

Hata hivyo gari iliyokuwa ikiendeshwa na Mwimbaji huyo iliharibika vibaya.
http://4.bp.blogspot.com/-oGgP2XlVC4I/Us12M0h_mzI/AAAAAAAABxs/N1YkkEyXpK8/s1600/bubu.jpg
Hii ni Video ya wimbo wa Queen Eleyele ujulikanao kama Afefe Ife