Advertise Here

Sunday, February 16, 2014

Namna Uzinduzi wa FRIENDS' BARBECUE(FB) ulivyofana Jijini Mwanza.

Ijumaa ya February 14, 2014 ilikuwa ni siku ya Uzinduzi wa Event ya FRIENDS' BARBECUE(FB) Mkoani Mwanza ambapo shughuli hiyo ilifanyika Royal Sunset Beach Resort maeneo ya Malimbe, Jijini Mwanza.

Akizungumza kwa niaba ya Kamati ya Maandalizi, Noel Mlabwa a.k.a Papaa alisema kuwa |Lengo hasa la kuanzisha FRIENDS' BARBECUE(FB) ni baada ya kuona Vijana wengi wa Kikristo hasa wa Jijini Mwanza hawana sehemu ya kwenda kufurahi kwa pamoja kama Vijana wa kipendwa, hivyo ujio wa Event hii utakuwa unawakutanisha Vijana na kupata Nyama Choma, Vinywaji, Mafundisho mbalimbali ya Kikristo hasa ya vijana na Live Music.

Siku ya tukio watu wengi walionekana kufurahia tukio huku wengine wakiomba tukio hilo liwe ni la Mara kwa Mara.

Sasa Tazama namna mambo yalivyokuwa
Noel Mlabwa akielezea Maana ya FRIENDS' BARBECUE na Umuhimu wake
Ma Mc wa Event hiyo Sowane Emmanuel na Kabula Siza
Ma Mc wakipata picha ya pamoja na Best Couple
Ufunguzi wa Shampein
Raha ya Shampein tuone mapovu
Shampein
Mc Kabula(Kushoto) akiwa na Muimbaji Ester Nyanda
Happy People
Ni zaidi ya Furaha
Best Couple ikipokea Zawadi yao
Bw. James Kalekwa akiwa eneo la tukio
Victoria Napiya(Kushoto) akiwa na Deborah Shija(Kulia) wakiwa na Furaha ya kutosha
Ester Nyanda akiimba
Papaa Noel Mlabwa akienda sawa wakati Ester Nyanda akiimba
Mazungumzo na Majadiliano
Papaa Noel akijibu baadhi ya Maswali kutoka kwa Mc
Baadhi ya waliohudhuria event hiyo wakiwa makini kufuatilia kilichokuwa kikiendelea
Bw. James Kalekwa akijibu Maswali kutoka kwa Mc
Deborah Shija akijibu Maswali kutoka kwa Mc
Kamati iliyoandaa Friends' Barbecue ikiimba wimbo Maalum
Mc Sowane Emmanuel akilonga Jambo
So Happy
Chakula kwa Tumbo, Tumbo kwa Chakula
Soft Music ikiendelea
Watu wakiendelea kula
Supu pia ilikuwepo
Mc Sowane na Lilian Mhando
Baadhi wa waliohudhuria
Ilikuwa ni Valentine Day
Very funny! Vick akinywa Shampein kwenye chupa


Wapo pia waliokuwa wakilia Jikoni

Hapo kila mtu alikuwa busy kupiga picha
Kaa tayari kwa FRIENDS' BARBECUE(FB) nyingine baada ya uzinduzi rasmi wa Event hiyo jijini Mwanza.