Advertise Here

Friday, February 21, 2014

Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania Addo November akerwa na Wabunge wa Bunge la Katiba kutaka kuongezewa Posho.

Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Tanzania ambaye pia ni Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania Addo November Mwasongwe, ameonyesha kuchukizwa na baadhi wa Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba kutaka kuongezewa Posho na kwamba Posho ya sasa Tshs. 300,000 haiwatoshi.

Addo November ameyasema hayo alipokuwa akiongea na Waandishi wa Habari Mkoani Arusha leo, na awataka Wajumbe wa Bunge hilo la Katiba wakumbuke kuwa Watanzania wamewaamini na ndio maana wako pale

Soma Status aliyoiandika Addo November kupitia Ukurasa wake wa Facebook