Advertise Here

Wednesday, April 24, 2013

Kanisa Katoliki latoa Waraka kuhusu Mchakato wa Katiba Mpya.

Kardinali Pengo
Kwa njia ileile iliyotumika Mwaka 2009 yaani Kanisa Katoliki kupendekeza waumini wake jinsi ya kushiriki uchaguzi wa mwaka uliokua unafuatia yaani 2010, sasa wakati tukiwa katikati ya mchakato wa Katiba mpya, Kanisa limetoa tena waraka unaoelekeza Wakatoliki njia inayofaa wafuate katika mchakato huo.

Waraka huo umetoka kwa njia ya kitabu kama mwaka ule 2009, na sasa hivi Waraka huu una jumla ya kurasa 65. Bei ya Kitabu hicho chenye Waraka ni shs. 3000/= kwa kitabu kimoja na kinapatikana kwenye maduka ya Kanisa Katoliki.

Chanzo: Jamii Forum