Advertise Here

Friday, August 30, 2013

Matukio katika Picha ya Tamasha la Hhc Alive Fm lililofanyika Nyakato Mwanza.

Hizi ni baadhi ya Picha za Tamasha la Radio ya Kikristo ya Hhc Alive Fm ya Jijini Mwanza liliyofanyika Kanisa la FPCT Nyakato Mwanza chini ya Mch. Saimon, Jumapili iliyopita, ikiwa ni muendelezo wa Ziara ya Matamasha ya Ujirani yatakayohitimishwa Mwezi wa 12, Mwaka huu katika viwanja vya CCM Kirumba.
Agape Choir - Nyakato


Amani Choir
Waliopo mbele ni baadhi ya Watangazaji wa Hhc Alive Fm
Baadhi ya watu waliohudhuria Tamasha hilo
Revival Mission Band
Kutoka Kushoto: Flora John, Adolph Nzwalla na Sowane Emmanuel
Watu wakimsifu Mungu
EAGT Revival Kisesa - Wana wa Mshika Mbili

Utukufu kwa Mungu