Advertise Here

Thursday, August 22, 2013

Semina ya Neno la Mungu kwa akina Mama Buhongwa, Mwanza.

Mwl. Gilbert akifundisha
Semina ya Neno la Mungu kwa akina mama, imeanza siku ya Jana katika kanisa la KKKT Usharika wa Buhongwa, Mwanza chini ya Mwl. Gilbert aliyefundisha Somo lenye kichwa "Asili ya Kizazi", na namna Asili ya kizazi inavyoweza kuharibu maisha ya mtu, hasa mwanamke.

Semina hiyo itakayodumu kwa siku 5, imeanza rasmi jana na itamalizika siku ya Jumapili. Muda ni kuanzia saa 10:00 jioni hadi Saa 12:30 Jioni. Hivi ndivyo ilivyokuwa...








Praise Team