Advertise Here

Monday, August 19, 2013

Semina ya kubwa ya "Majira ya Urejesho" yakamilika Mwanza.

Mwl. Wilhard Mwanri (Arusha)
ILE Semina kubwa ya Neno la Mungu iliyoanza Jumapili ya tarehe 11 mwezi huu, imekamilika siku ya Jana huku watu mbalimbali wakifunguliwa na kurejeshewa vile vitu ambavyo Ibilisi aliviiba kutoka kwao.
Mwl. Mwanri akiombea watu mbalimbali wakati wa Semina
Semina hiyo iliyodumu kwa Siku 8, ilifanyika maeneo ya Nyegezi, Tema Hotel Ukumbi Mkubwa, huku wanenaji wakiwa ni Mwl. Wilhard Mwanri kutoka Arusha na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la New Vine Christian Centre.
Watu wakifunguliwa