Advertise Here

Monday, December 31, 2012

Msama Promotions yakabidhi Msaada wa Vyakula na Ada.

Bw. Alex Msama akikabidhi Misaada hiyo
Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion, Bw. Alex Msama akimkabidhi sehemu ya msaada wa vyakula Mkurugenzi wa Kituo cha kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha Mwandaliwa, Halima Ramadhani. Mbali ya kukabidhi msaada wa vyakula hivyo, Msama pia alikabidhi hundi ya sh milioni 1.5 kwa ajili ya kulipia ada za wanafunzi waliofukuzwa shule. Msaada huo  umetokana na mapato ya tamasha la Pasaka lililofanyika Mwaka 2012. Hafla hiyo ilifanyika Mbweni nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, Mwishoni mwa wiki.