Advertise Here

Wednesday, December 26, 2012

Matukio ya Ibada za Chrismas katika Makanisa Mbalimbali.

Baadhi ya Waumini katika Katika Ibada ya Chrismas(Jana) katika Kanisa la KKKT-Usharika wa Azania Front
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es salaam, Eusebius Nzigilwa akiongoza Ibada ya Mkesha wa Chrismas katika Kanisa la Mt. Petro, Osterbay Jijini Dar es salaam
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dr. Alex Malasusa akihubiri katika Ibada ya Chrismas hapo Jana katika Kanisa la KKKT-Usharika wa Azania Front.    
Baadhi ya Waumini wa Kanisa Kuu la Mt. Joseph wakiwa katika Ibada ya Sikukuu ya Chrismas hapo Jana
Baadhi ya Akina Mama waliojifungua Siku ya Chrismas(Jana) wakiwa na watoto wao katika Hospitali ya Mwananyamala, Jijini Dar es salaam.
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es salaam Muadhama Polycarp Kadinali Pengo akipokea Michango mbalimbali ya fedha kutoka kwa Viongozi wa Jumuiya za Kikristo katika Jimbo la segerea