Advertise Here

Saturday, November 10, 2012

Jotta A, Mwimbaji Mtoto wa Nyimbo za Injili toka Nchini Brazil.


ALIZALIWA Mnamo mwaka 1997 Nchini Brazil. Akiwa na Umri wa kama miaka minne hivi ndipo talent yake ikaanza kuonekana.

Jina lake ni Jotta A, mwimbaji wa Nyimbo za Injili toka Brazil. Kwasasa ana umri wa Miaka 15 tu lakini kile anachokifanya ni zaidi ya Umri wake.

Tumia muda wako kutazama video hii ambayo Jotta A ameimba na Mwimbaji nguli wa Muziki wa Injili Donnie MCclurkin alipokuwa Nchini Brazil.

Kama kungekuwa na Maajabu 7 ya Dunia katika Muziki wa Injili basi Jina la Jotta A lisingekosa kwenye Orodha. Hebu Tazama pia Video hii hapa