Advertise Here

Thursday, November 1, 2012

Usaili wa AFLEWO kwa Mwaka 2013, kufanyika Ijumaa na Jumamosi ya Wiki hii.

 
Kama Unataka kuwa Muhudumu kwenye Tamasha la AFLEWO 2013, Usaili wa Kuhudumu kama Muimbaji utafanyika Ijumaa hii pale DPC kuanzia saa 12 Jioni mpaka saa 2 usiku.

Kama unataka kuhudumu kwenye upande wa Maombi, Publicity na Marketing, Hospitality, au Usher Usajili utafanyika Jumamosi hii katika Kanisa la City Christian Centre kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 5 asubuhi.