Advertise Here

Thursday, September 19, 2013

Diwani atajwa kuhusika na Uchomaji wa Kanisa nchini Kenya.


Stephen Chemalan ni mmoja wa waliotajwa na shahidi wa kwanza hiyo jana  katika kesi za ICC ya Uchomaji wa Kanisa la Kiambaa Nchini Kenya, lakini kwa wengi Chamalan hajulikani  licha ya kuwa yeye ni diwani  katika Kaunti ya Uasin Gishu.