Advertise Here

Monday, September 2, 2013

Huu ndio Wimbo ulioimbwa na Watangazaji wa Radio za Kikristo Mwanza Maalum kwa Askofu Dr. Mosses kulola.

Baadhi ya Watangazaji wa Hhc Alive Fm. Kuanzia Kushoto ni Flora Robby, Adolph Nzwalla na Sowane Emmanuel
Sikiliza wimbo huu Unaoitwa "Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa" ulioimbwa na Watangazaji wa Radio za Kikristo Mwanza ukiwa ni maalumu kabisa kwa Mpendwa wetu Askofu Dr. Mosses Kulola. Baadhi ya Waimbaji walioshiriki ni Adolph Nzwalla (Hhc Alive Fm), Sowane Emmanuel (Hhc Alive Fm), Jackline Raphael (Kwa Neema Fm Radio), n.k