Advertise Here

Sunday, March 10, 2013

Yaliyojiri kwenye Uzinduzi wa kitabu cha "Wokovu ni Uhakika wa Maisha ya Sasa na ya Baadaye".

Bw. James Kalekwa(Mwandishi wa Kitabu)
LEO pale Isamo Hoteli ndani ya Jiji la Mwanza, kulikuwa na Uzinduzi wa Kitabu cha "Wokovu ni Uhakika wa Maisha ya sasa na ya Baadaye" kilichoandikwa na Mwandishi James Kalekwa ambaye pia ni Mhadhiri Msaidizi katika Chuo cha Mt. Augustino Mwanza, Idara ya Sosholojia.
Cover la Kitabu
Watu mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania walihudhuria Uzinduzi huo, na Kutoka Dar es salaam walikuwepo The Blogger Samuel Sasali pamoja na Mc wa Shughuli Pilipili a.k.a Handsome wa Kigogo.
Mc Pilipili katika Pozi
Wasemaji katika Uzinduzi huo walikuwa Mch. Goodluck Kyara (NVCC), Samuel Sasali na James Kalekwa. Sasa fuatana nasi kutazama picha hizi ya Jinsi tukio lilivyokuwa...
Kutoka kushoto ni Sarah pamoja na Neema
Pipooooo............
Watumishi wa Mungu
Marafiki waliokuja kumuunga Mkono Bw. James Kalekwa
Sehemu ya Praise Team
Praise Team
Ruth Lyanga
Raisi wa Wapiga Vinanda Mwanza, Bw. Sephone Sospeter
Joel Kaema akiongoza Wimbo wa kuabudu
Baadhi ya Watu waliohudhuria
Watumishi wa Mungu kutoka MICC
Bw. Samuel Sasali
James Kalekwa akiwa na Mgeni Rasmi
Kushoto ni Bishop Irene Nzwalla wa Hosanna Christian Centre
Miss Adela Mwampamba, Mtangazaji Hhc Alive Fm
Wazungumzaji
Mc Pilipili akifanya Vitu vyake
Mch. Goodluck Kyara wa New Vine Christian Centre
Sehemu ya Watu waliohudhuria
Kitabu kikizinduliwa Rasmi
Hapo vipiii....
The Team
Bloggers: Kutoka kushoto ni Samuel Sasali, Sowane Emmanuel na Baraka Samson
Blogger Sowane Emmanuel with Mc Pilipili