| Bw. James Kalekwa(Mwandishi wa Kitabu) |
![]() |
| Cover la Kitabu |
Watu mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania walihudhuria Uzinduzi huo, na Kutoka Dar es salaam walikuwepo The Blogger Samuel Sasali pamoja na Mc wa Shughuli Pilipili a.k.a Handsome wa Kigogo.
| Mc Pilipili katika Pozi |
Wasemaji katika Uzinduzi huo walikuwa Mch. Goodluck Kyara (NVCC), Samuel Sasali na James Kalekwa. Sasa fuatana nasi kutazama picha hizi ya Jinsi tukio lilivyokuwa...
| Kutoka kushoto ni Sarah pamoja na Neema |
| Pipooooo............ |
| Watumishi wa Mungu |
| Marafiki waliokuja kumuunga Mkono Bw. James Kalekwa |
| Sehemu ya Praise Team |
| Praise Team |
| Ruth Lyanga |
| Raisi wa Wapiga Vinanda Mwanza, Bw. Sephone Sospeter |
| Joel Kaema akiongoza Wimbo wa kuabudu |
| Baadhi ya Watu waliohudhuria |
| Watumishi wa Mungu kutoka MICC |
| Bw. Samuel Sasali |
| James Kalekwa akiwa na Mgeni Rasmi |
| Kushoto ni Bishop Irene Nzwalla wa Hosanna Christian Centre |
| Miss Adela Mwampamba, Mtangazaji Hhc Alive Fm |
| Wazungumzaji |
| Mc Pilipili akifanya Vitu vyake |
| Mch. Goodluck Kyara wa New Vine Christian Centre |
| Sehemu ya Watu waliohudhuria |
| Kitabu kikizinduliwa Rasmi |
| Hapo vipiii.... |
| The Team |
| Bloggers: Kutoka kushoto ni Samuel Sasali, Sowane Emmanuel na Baraka Samson |
| Blogger Sowane Emmanuel with Mc Pilipili |


