Mkutano wa Injili ulioandaliwa na Kanisa la EAGT City Centre chini ya Mchungaji Michael G. Kulola(Kulola Junior) umeanza katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza na utadumu kwa Siku 8.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhu2hZIw2Rdn-E4AItuEs8RmWxILHTiCb786uDFX6b_ple9w5u71Zfmm82RAl1HQgOvz5G709wkh4J4eLptczTtuK352oevD3-P9NakkYlcN28-i8-WOYs-dSBBjX1xm_tumgOT5KNZawGi/s400/Kulola+2.jpg)
Wanenaji katika mkutano huo ni Mchungaji Frolian Katunzi kutoka Dar es salaam, Mchungaji Frank Msuya toka Arusha na Mchungaji Michael Kulola toka Mwanza.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFmedskJ90FSDDzJZx5RcS27bMXIYpeyJiIuhy3zmp0o0WCB2CMW2jQBha_EKiZ0M0YfbCAb3h78hkLKRGuqQ2Tpcxwz-beXSp4_-ZOhhJOQR2kCaXWe0SR9KFgmRAIpxs52wphqtboXlY/s400/Kulola+3.jpg)
Kwaya mbalimbali pamoja na Waimbaji mbalimbali wanahudumu katika Mkutano huo kama vile Bugando Injili, City Centre Choir, Mlima wa Utukufu(Ilemela), Lusekelo kutoka Dar, na wengineo.