Advertise Here

Sunday, October 20, 2013

Tazama walichokifanya Glorious Worship Team kwenye Campus Night - Saut.

October 18, 2013 ilikuwa ni Siku ya Usiku wa Kusifu na Kuabudu ujulikanao kama Revival Flames Campus Night ndani ya Chuo Kikuu cha Mt. Augustino, na Moja ya Vikundi vilivyohudumu ni Glorious Worship Team kutoka Dar es salaam.

Sasa tazama Video hii uone watu walivyokuwa Wakimsifu Masiha wakiongozwa na GWT toka Dar es salaam