Jana ilikuwa ni siku ya kufunga ndoa kwa Bw. Samuel Sasali a.k.a The Blogger na Bi. Milembe John Madaha.
Sasa haya ni Matukio katika Picha jinsi tukio zima lilivyokuwa
 |
| Sam Sasali akimvisha Pete Milembe |
 |
| Milembe akimvisha Pete Sam Sasali |
 |
| Hapa wakionesha Vyeti vyao vya Ndoa |
 |
| Wakitoka Kanisani |
Kisha shughuli nzima ikahamia Ukumbini
 |
| Mr. & Mrs. Samuel Sasali |
 |
| So Beautiful |
 |
| Handsome Men |
 |
| Ukweni |
 |
| Ukweni |
 |
| Prosper Mwakitalima akitoa Zawadi kwa Maharusi |
 |
| Blogger Jimmy akitoa Zawadi |
Tunawatakia Maisha Mema na yenye Furaha na Baraka Tele.
- Uncle Jimmy -