Advertise Here

Monday, October 28, 2013

TB Joshua atabiri kutekwa kwa Kiongozi Afrika Mashariki.

Nabii Tb joshua
Nabiii TB Joshua wa SCOAN Nigeria ametabiri kutekwa kwa Kiongozi wa nchi moja ya Afrika Mashariki.

Utabiri huo ameutoa kwenye Ibada ya Jana huku akiwataka wana'Afrika Mashariki kuomba sana juu ya hili ili lisitokee.

Utabiri wa TB Joshua mara nyingi umekuwa ukitimia. Je! kwa hili mambo yatakuwaje???

Hebu Tazama clip ya Video hii akitoa Utabiri huo