Advertise Here

Wednesday, October 30, 2013

Kanisa la FPCT Sengerema latoa Mafunzo Maalum kwa Vipofu.

Kanisa la FPCT Kata ya Disabageni, Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza, limetoa Mafunzo maalum kwa watu wasioona ili waweze kusoma Neno la Mungu.

Kwa Taarifa Kamili tuungane na Reporter wetu Peter Maresa kutoka Sengerema