Advertise Here

Monday, October 21, 2013

Harusi ya James Kalekwa na Frida Madenda.

James Kalekwa na Frida Madenda wakiwa wenye Furaha baada ya kuvishana Pete
Jumamosi ya Juzi ilikuwa ni Siku ya Harusi ya Bw. James Kalekwa na Frida Madenda iliyofanyika Mkoani Dodoma.

James Kalekwa ni Mwanataaluma, Mwandishi wa Vitabu na Mwalimu wa Neno la Mungu. Pia amekuwa akifundisha kupitia Mtandao huu kila siku za Jumatatu.

Unaweza kusoma Mafundisho ya James Kalekwa ya Jumatatu iliyopita kwa Kubofya Hapa

Hizi ni Baadhi tu ya Picha za Harusi ya Bw. James Kalekwa na Frida Madenda

Kwa tukio hili, leo hatutakuwa na Mafundisho ya James Kalekwa, Kwa Mafundisho yake mengine tembelea Mtandao huu Jumatatu Ijayo.

Mtandao huu unawatakia Maisha Mema yenye Furaha na Baraka tele.