Advertise Here

Wednesday, October 2, 2013

Timu ya Praise & Worship yaendelea na Mazoezi kwa ajili ya Ibada ya Kusifu na Kuabudu ya Octoba 6.

Zikiwa zimebaki Siku 4 ifike siku yenyewe ya Ibada Kubwa ya Kusifu na Kuabudu katika Kanisa la New Vine Christian Centre lililopo Tema Hotel, Nyegezi-Mwanza, Mtandao wa Gospel News Media jana usiku ulifika Kanisani hapo na kukuta Vijana wa Praise & Worship Team wakiendelea na Mazoezi ya Kunoa Sauti zao pamoja na Upigaji wa Vyombo, tayari kabisa kuongoza Ibada kubwa ya Kusifu na Kuabudu itakayofanyika Jumapili ya October 6, 2013.

Hizi ni baadhi tu ya Picha tulizofanikiwa kukuletea ili Japo uone ni kwa namna gani Maandalizi ya Ibada hii kubwa yanavyoendelea.

Mazoezi yakiendelea
Masha Makaya - Basist
David - Keyboard No. 2
Jema - Keyboard No. 1
Solomon kwenye Tumba
Sauti ya 3 Wanaume
Sauti ya 3
Mwl. Boaz akifundisha
Chombo cha Habari(Blogger) Baraka Samson kwenye Drums
Baadhi ya Wana'Praise
Mwl. Boaz akitoa maelekezo kwa Mpiga Keyboard
Sowane Emmanuel na Charles Ernest
 Kumbuka tu kwamba Tshirt za event hii zinapatikana bado. Piga Simu Sasa: 0712 113305 na 0754 030789.