Advertise Here

Thursday, October 31, 2013

Mwimbaji Peter Kaberere wa Kenya asherehekea Miaka 4 ya Ndoa yake.

Kaberere akiwa na Mkewe Njesh
Mwimbaji wa Nyimbo za Kusifu na Kuabudu Peter Kaberere wa Nchini Kenya, leo October 31, 2013 anasherehekea Miaka 4 ya ndoa yake na Mkewe Njesh Kahuru. Wawili hawa walifunga ndoa October 31, 2009 kwa kula kiapo Kanisani huko Kitusulu, Kenya.

Mara ya kwanza kukutana kwao, walikutana katika Tamasha la Muziki huko Mombasa, Kenya wakati Kaberere akiwa katika ziara ya kimuziki.

Huu ni wimbo wa Peter Kaberere ujulikanao kama "Nisamehe"