Advertise Here

Monday, November 25, 2013

Mwimbaji Enid Moraa wa Kenya afiwa na Baba yake.

enid moraa dad
Enid akiwa na Baba yake enzi za Uhai wake (Picha na Uliza Links)
Mwimbaji wa nyimbo za Injili wa Nchini Kenya Enid Moraa amefiwa na Baba yake Mr. David Onkoba Nyakundi baada ya kulazwa katika Hospitali ya Aghakhan toka Septemba 22, 2013 katika chumba cha ICU.

Baba yake Enid alipelekwa hospitali hapo akiwa na Matatizo katika Mwili wake yaliyosababishwa na kinachoitwa "Electrolyte Imbalance".

Amani ya Bwana ipitayo akili za Mwanadamu iwe na Familia hii katika kipindi hiki kigumu.