Advertise Here

Saturday, November 16, 2013

Dhehebu Jipya linalomwamini Yohana Mbatizaji kuliko Yesu laibuka huko Kenya.

Dhehebu jipya limeibuka huko Nchini Kenya lijulikanalo kama "Gospel of God" huku likiwa linamwamini Yohana Mbatizaji ambaye alikufa na Kufufuka, na si Yesu, kinyume na Wakristo wengine Ulimwenguni.

Kwa Mujibu wa Imani yao, Yohana Mbatizaji alikufa na kufufuka Nchini Zimbabwe mnamo Octoba 1914. Waumini hawa kwao ni Marufuku kutoa fungu la kumi, na kwa kawaida Ibada zao hufanyia Nje ya Nyumba za Waumini huku Wanawake wakisalia Mbali na Wanaume.

Tazama Video hii ujionee mambo yalivyo
- Swahili Hub -