Advertise Here

Friday, November 22, 2013

Uchaguzi wa viongozi wapya Tafes Saut kufanyika kesho.

Noel Didas, Mwenyekiti anayemaliza muda wake
Jumamosi ya Kesho kutakuwa na Uchaguzi wa Viongozi wapya wa Tafes Saut-Mwanza. Uchaguzi huo utahusisha Viongozi wa Juu kama vile Mwenyekiti, Katibu, Muweka Hazina, n.k.

Uchaguzi huo utafanyika Saa 10:00 Jioni - Saa 12:30 Jioni, katika Ukumbi wa M1 ndani ya chuo Kikuu cha Mt. Augustino.