Advertise Here

Thursday, November 21, 2013

Elias Mwingira na Mkewe washerehekea Miaka 20 ya ndoa yao.

Nabii Josephat Mwingira akiwa na Mkewe Mchungaji Eliakunda Mwingira
Mtume na Nabii Josephat Elias Mwingira na Mkewe, Mchungaji Eliakunda Josephat Elias Mwingira, wanasherehekea Miaka 20 ya Ndoa yao.

Ibada maalum kwa ajili ya Sherehe hiyo, itafanyika Jumamosi ya November 23, 2013 katika Kanisa la Efatha Mwenge, Dar es Salaam.